Jumatano, 1 Machi 2017

MTAALA WA DIPLOMA YA BIBLIA NA THEOLOJIA



ORODHA YA KOZI NGAZI YA   STASHAHADA (DIPLOMA)
Mwaka Wa Kwanza
Semista ya Kwanza
NAMBA YA KOZI
JINA LA KOZI
KREDIDI
EDB 100
Uchunguzi Wa Agano la Kale
3
EDB 101
Uchunguzi wa Agano Jipya
3
ED T 100
Misingi ya Imani
2
EDM 100
Sifa na ibada
1
EDT 105
Bibliolojia
2
EDB 103
Mbinu za Kujifunza Biblia
2
EDA 100
Stadi za Mawasiliano na mbinu za Usomaji
2

Semista ya Pili
NAMBA YA KOZI
JINA LA KOZI
KREDIDI
EDT 200
Kuisikia sauti ya Mungu
1
EDT201
Maisha ya Kikristo
2
EDT 202
Kanuni za kufasiri Maandiko
3
EDT 203
Kanisa
2
EDM 200
Huduma ya Ukombozi na uponyaji
2
EDM 201
Mbinu  za kufanya Uinjilisti
2
EDM 202
Homiletiksi
2
EDM  203
Mazoezi ya Vitendo I
1

Mwaka Wa Pili
Semista ya tatu
NAMBA YA KOZI
JINA LA KOZI
KREDIDI
EDT 300
Historia ya Kanisa
2
EDL 300
Maandalio ya Uongozi .I
2
EDM 300
Vita vya Kiroho
2
EDC 300
Mbinu za Kupanda Makanisa
3
EDT 303
Wanawake katika Huduma
2
EDT 301
Karama Za Roho Mtakatifu
2
EDB  300
Danieli na Ufunuo wa Yohana
2

Semista ya nne
NAMBA YA KOZI
JINA LA KOZI
KREDIDI
EDT 400
Agano la Mungu
2
EDP400
Saikolojia ya Biblia
2
EDT 400
Mahusiano ya Kikristo
2
EDC 400
Mbinu za Mazidisho ya Kiroho
3
EDB 400
Waebrania
2
EDT 405
Theolojia I
2
EDT  406
 Maandalio ya uongozi II
2
Mwaka wa Tatu
Semista ya Tano
NAMBA YA KOZI
JINA LA KOZI
KREDIDI
EDL 500
Kanuni za Uongozi wa Kiroho
2
EDM 500
Theolojia ya Utendaji
2
EDM 501
Huduma ya Masaidiano
1
EDT 500
Ndoa na Familia ya Kikristo
3
EDT 505
Utafiti wa ki-Theolojia
2
EDT 502
Theolojia II
2
EDA 500
Ujasiliamali
2
EDL 502
Mazoezi ya Vitendo II
1
Semista  ya Sita
NAMBA YA KOZI
JINA LA KOZI
KREDIDI
EDT 604
Dini zaUlimwengu
2
EDT 600
Huduma tano za Uongozi
1
EDP 600
Ushauri wa Kichungaji
3
EDT 601
Theolojia ya Kichungaji
2
EDL 600
Kuongoza kwa Kusudi
1
 EDA 600
Sayansi ya Jamii
1
EDM 600
Mbinu za Ufundishaji
2
EDT 602
Maadili ya Kichnungaji
2
EDT 606
Kupokea Upako wa Roho Mtakatifu
1



Maoni 3 :