ELAM
CHRISTIAN HARVEST SEMINARY
ECHASE
SEMINARI
YA MAVUNO ELAM
P.O.BOX 69
MKWAJUNI SONGWE
Tel.
0762532121. Email. elamseminary@gmail.com

Kuwaandaa
Watendakazi kwaajili ya Mavuno ya Nyakati za Mwisho.
LUKA
10:2
DIPLOMA YA
BIBLIA NA THEOLOJIA KWA NJIA YA INTANETI
Uongozi
wa Chuo cha Biblia cha Elam Christian Harvest Seminary unapenda kuwa
tangazia umma wote wanaopenda
kujiendeleza katika Elimu ya Mambo ya Mungu (Theolojia) kuwa imeanzisha program ya Mafunzo ya Biblia
na Theolojia kwa njia ya Mtandao (Intaneti).
Tunatoa
DIPLOMA YA BIBLIA NA THEOLOJIA kwa njia ya Mtandao
Huna haja ya kuacha
kazi yako na familia yako na kwenda chuoni kwa muda mrefu, Waweza kusoma ukiwa
unaendelea na kazi yako na kufikia maono yako au ngazi unayotaka.
Diploma
ya Biblia na Theolojia ina jumla ya masomo/kozi arobaini na mbili (42 ) zenye
jumla ya krediti tisini (90)
Mwanafunzi
aweza kusoma kuazia kozi moja hado kozi tatu kwa mwezi. Mwanafunzi atatumiwa
masomo na mitihani kwenye emaili yake na baada ya kujifunza na kufanya mitihani
mwanafunzi atarudisha mitihani kupitia emaili ya chuo liyoko hapo juu.
GHARAMA ZA MASOMO
Chuo
chetu kinatoa mafunzo kwa gharama nafuu kabisa inayomwezesha kila mtu kumudu. Gharama zetu hulipwa kwa kila kozi.
·
Ada ya usajiri ni Tsh. 11,000/=
·
Ada ya kozi ni Tsh. 15,000/=
·
Mwanafunzi aweza kulipa ada ya muhula
mzima au ada ya kila kozi atakayosoma kwa muda husika.
LUGHA YA MAFUNZO
Masomo
yanafundishwa kwa lugha mbili Kiswahili
na Kiingereza. Mwanafunzi atachagua lugha atakayotumua katika masomo yake.
Baada
ya Mwanafunzi kufuzu kozi zote 42 atatunukiwa Diploma ya Biblia na Theolojia.
Watu
wote mnakaribishwa kujiunga na chuo hiki ili muweze kuandaliwa kwaajili ya
mavuno ya Kiroho.
Kwa
maelezo zaidi wasiliana nasi kwa namba za simu za hapo juu au kwa barua pepe ya
hapo juu.
Wako
katika Mavuno
Rev.
G J Kagussa
Naibu
Makamu Mkurugenzi Mkuu Taaluma.
ELAM
CHRISITAN HARVEST SEMINARY
ORODHA YA KOZI NGAZI YA
STASHAHADA (DIPLOMA)
Programu ya Biblia na Theologia inalenga
kuwaandaa watendakazi na viongozi wa kanisa wenye kujaa upako wa Roho mtakatifu na wenye taaluma ya
kutosha katika uwanja wa theologia, huduma za kanisa na sanaa. Pia inalenga
kuwapa stadi na ujuzi na kuwajengea uwezo wa kumtumikia Mungu katika wito wao
kwa ufanisi mkubwa. Baada ya mafunzo haya viongozi hawa watakuwa na uwezo wa
kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika utumishi wao na
kuweza kumzalia Mungu matunda yanayodumu. Pia wataweza kufanya shughuli za
uongozi na kutumia raslimali mbalimbali katika kuujenga ufalme wa Mungu. Pia
programu hii inalenga kuwandaa wanafunzi
kitaaluma ili wawe na uwezo mpana wa kuendelea na masomo ya elimu ya juu
katika fani mbalimbali za elimu ya ki-Mungu.
Programu hii inajumla ya krediti 90
na itachukua miaka mitatu ya ya mafunzo darasani na nje ya darasa
Baadaya kuhitimu mafunzo mwanafunzi ataweza kufanya huduma mbalimbali
kutegemeana na wito wa Mungu au huduma
iliyomo ndani yake.
ORODHA YA KOZI NGAZI YA
STASHAHADA (DIPLOMA)
Mwaka
Wa Kwanza
Semista ya Kwanza
NAMBA
YA KOZI
|
JINA
LA KOZI
|
KREDIDI
|
EDB
100
|
Uchunguzi
Wa Agano la Kale
|
3
|
EDB
101
|
Uchunguzi
wa Agano Jipya
|
3
|
ED
T 100
|
Misingi
ya Imani
|
2
|
EDM
100
|
Sifa
na ibada
|
1
|
EDT
105
|
Bibliolojia
|
2
|
EDB
103
|
Mbinu
za Kujifunza Biblia
|
2
|
EDA
100
|
Stadi
za Mawasiliano na mbinu za Usomaji
|
2
|
Semista ya Pili
NAMBA
YA KOZI
|
JINA
LA KOZI
|
KREDIDI
|
EDT
200
|
Kuisikia
sauti ya Mungu
|
1
|
EDT201
|
Maisha
ya Kikristo
|
2
|
EDT
202
|
Kanuni
za kufasiri Maandiko
|
3
|
EDT
203
|
Kanisa
|
2
|
EDM
200
|
Huduma
ya Ukombozi na uponyaji
|
2
|
EDM
201
|
Mbinu za kufanya Uinjilisti
|
2
|
EDM
202
|
Homiletiksi
|
2
|
EDM 203
|
Mazoezi
ya Vitendo I
|
1
|
Mwaka
Wa Pili
Semista ya tatu
NAMBA
YA KOZI
|
JINA
LA KOZI
|
KREDIDI
|
EDT
300
|
Historia
ya Kanisa
|
2
|
EDL
300
|
Maandalio
ya Uongozi .I
|
2
|
EDM
300
|
Vita
vya Kiroho
|
2
|
EDC
300
|
Mbinu
za Kupanda Makanisa
|
3
|
EDT
303
|
Wanawake
katika Huduma
|
2
|
EDT
301
|
Karama
Za Roho Mtakatifu
|
2
|
EDB 300
|
Danieli
na Ufunuo wa Yohana
|
2
|
Semista ya nne
NAMBA YA KOZI
|
JINA LA KOZI
|
KREDIDI
|
EDT
400
|
Agano
la Mungu
|
2
|
EDP400
|
Saikolojia
ya Biblia
|
2
|
EDT
400
|
Mahusiano
ya Kikristo
|
2
|
EDC
400
|
Mbinu
za Mazidisho ya Kiroho
|
3
|
EDB
400
|
Waebrania
|
2
|
EDT
405
|
Theolojia
I
|
2
|
EDT 406
|
Maandalio ya uongozi II
|
2
|
Mwaka wa
Tatu
Semista ya Tano
NAMBA YA KOZI
|
JINA LA KOZI
|
KREDIDI
|
EDL
500
|
Kanuni
za Uongozi wa Kiroho
|
2
|
EDM
500
|
Theolojia
ya Utendaji
|
2
|
EDM
501
|
Huduma
ya Masaidiano
|
1
|
EDT
500
|
Ndoa
na Familia ya Kikristo
|
3
|
EDT
505
|
Utafiti
wa ki-Theolojia
|
2
|
EDT
502
|
Theolojia
II
|
2
|
EDA
500
|
Ujasiliamali
|
2
|
EDL
502
|
Mazoezi
ya Vitendo II
|
1
|
Semista ya Sita
NAMBA YA KOZI
|
JINA LA KOZI
|
KREDIDI
|
EDT
604
|
Dini
zaUlimwengu
|
2
|
EDT
600
|
Huduma
tano za Uongozi
|
1
|
EDP
600
|
Ushauri
wa Kichungaji
|
3
|
EDT
601
|
Theolojia
ya Kichungaji
|
2
|
EDL
600
|
Kuongoza
kwa Kusudi
|
1
|
EDA 600
|
Sayansi
ya Jamii
|
1
|
EDM
600
|
Mbinu
za Ufundishaji
|
2
|
EDT
602
|
Maadili
ya Kichnungaji
|
2
|
EDT
606
|
Kupokea
Upako wa Roho Mtakatifu
|
1
|