Jumapili, 6 Januari 2019

Tangazo la MASOMO YA SHAHADA YA UZAMIVU/UDAKTARI KATIKA THEOLOJIA (ThD)


 SHAHADA YA UDAKTARI KATIKA THEOLOJIA/ DOCTOR OF THEOLOGY
Uongozi wa   Elam Christian Harvest Seminary  kwa kushirikiana na Chuo cha GREAT COMMISSION BIBLE COLLEGE  kilichopo  MAREKANI unapenda kuwatangazia  watu wote wanaopenda kujiendeleza katika Elimu ya Mambo ya Mungu (Theology) kuwakaribisha kujiunga na masomo ya SHAHADA YA  UZAMIVU KATIKA THEOLOJIA   (Doctor of Theology ) kwa mwaka wa masomo 2019/2010. MASOMO HAYA YANAANZA KUTOLEWA MWEZI   FEBRUARY  2019
Masomo haya yanatambuliwa Kimataifa. Chuo cha Great Commission Bible College Kinatambuliwa na Bodi ya elimu ya  juu ya  nchini  Marekani. Hivyo Shahada zake zinatambuliwa Kimataifa. (It is accredited Christian Institution). Pia chuo cha Great Commision Bible College kimesajiliwa katika bodi  ya kimataifa  ya Usajiri wa  Vyuo vya  Biblia, Theologian na Seminary  inayojulikana kwa jina la  Association of Independent Christian Colleges and Seminaries (AICCS)
Masomo  haya yanatolewa kwa njia ya Mtandao na posta. Huna haja ya kuacha kazi zako na familiya yako na kwenda chuoni, masomo yetu yanakufikia kule ulipo kwa njia ya Mtandao na posta. (INTANETI) na yanafundishwa kwa lugha ya KINGEREZA
Masomo haya yametayarishwa na Waalimu mahiri katika fani ya Huduma na Theolojia, Baada ya kuhitimu mafunzo yaha mwanafunzi atakuwa na uwezo wa kufanya kazi mbalimbali za kihuduma katika taasisi za kidini na jamii kwa ujumla. Mwanafunzi ataweza kushika nyazifa za uongozi katika kanisa, kufundisha Vyuo vya Biblia na Seminary za Theolojia N.k.
 MUDA WA MAFUNZO
Muda wa Mafunzo  ni   miaka mitatu (3)  Ingawa mwanafunzi  mwenye kusoma kwa kasi anaweza kusoma kwa  muda wa chini ya miaka mitatu. Mwanafunzi Atasoma Kozi moja hadi mbili kwa mwezi.
SIFA ZA MWOMBAJI  
·        Mwombaji anatakiwa kuwa  amezaliwa mara ya pili (a born again )
·        Awe na umri kuanzia miaka 25
·        Awe na  awe na shahada ya umahiri/uzamili katika elimu yoyote ya dini na awe na ufaulu wa angalau GPA ya 3.0 au Daraja B
·        Awe tayari kulipa gharama za mafunzo

Mwanafunzi atakayefuzu kozi zote atatunukiwa Shahada ya   UZAMIVU/UDAKTARI (Doctor of Theology   ) ya Chuo cha Biblia cha GREAT COMMISSION BIBLE COLLEGE   cha Marekani.

GHARAMA ZA MAFUNZO
       i.            Ada ya  Usajili  Tsh, 55,000/=
     ii.            Ada Ya Kila Kozi Ni Tsh,   Tsh,  95000/=
MFUMO  WA MALIPO.
Malipo yote yanafanyika kwa njia ya m-pesa kwa simu namba 0762532121

MFUMO WA UJIFUNZAJI
Mwanafunzi atatumiwa  kitabu cha kozi/Somo, mwongozo wa kozi na mtihani kwenye email yake. (barua pepe) Mwanafunzi Atasoma na kujibu mtihani, baada ya kujibu mtihani ataurudisha chuoni kwa emaili yetu ambayo ni elamseminary@gmail.com  nasi tutaisahihisha mitihani hiyo na kurejesha majibu kwa mwanafunzi kwa njia ya email  yake.

JINSI YA KUJIUNGA
Mwombaji anapaswa kutuma  maombi kwa njia ya barua pepe kwenye emaili
Ya chuo ambayo ni elamseminary@gmail.com au  kupiga simu namba 0762532121/0765992774  

THE DOCTOR OF THEOLOGY DEGREE
The  Doctor   Degree in Theology (ThD) is an advanced professional degree designed to continue the education of ministers, helping you to be spiritually renewed and increasingly effective in your world ministry context. This program explores the contextual theologies of global Christianity with primary focus on the phenomenal growth and emerging scholarship within the global Spirit-empowered movement. It aims to equip scholars and practitioners to engage, impact, and serve the Kingdom of God.

This program addresses the following  FIVE  contemporary developments
● Current global shifts in Christianity.
● Academic studies of the integral relationship between Spirit-empowered Christianity and the growth of global Christianity.
● Rising social engagement in Spirit-empowered movements and the widening range of cultural and social issues raised by academics and practitioners.
● The increasing interaction of Spirit-empowered movements with other religions.
PURPOSE
 The purpose of the  ThD  program is to contribute to the body of knowledge concerned with the growth of global Christianity and Spirit-empowered movements. The program addresses these five  contemporary developments:
  • Current global shifts in Christianity.
  • Academic studies of the integral relationship between Spirit-empowered Christianity and the growth of global Christianity
  • Rising social engagement in Spirit-empowered movements and the widening range of cultural and social issues raised by academics and practitioners.
  • The increasing interaction of Spirit-empowered movements with other religions.
  • Increase in the Holy Spirit’s movement amongst marginalized as opposed to inside the institutional church.

PROGRAM GOALS AND OUTCOMES
 The program goals of the  Doctor Degree  in Theology are coordinated with specific learning outcomes that graduates of the program will be expected to demonstrate.
·          Goal 1: To enable students to acquire comprehensive knowledge of the disciplines of theological study with specialization in a particular area of study
o    Outcome 1.1: Demonstrate comprehensive knowledge in and a general mastery of their major area of specialization.
o    Outcome 1.2: Demonstrate expertise in the specific area of theology by means of dissertation research.
·         G2. To provide students with the skills needed to engage in original research at seminary    level in their area of theological expertise and to contribute to the body of knowledge in the field through actionable research and publications. 
o     O.2.1. Demonstrate a capacity to produce publication-worthy research and writing that contributes to the knowledge and  advancement of the field
o    O.2.2. Disseminate the findings of research through traditional and digital means.
·         G3. To engage students in a sustained exploration of the connections and interactions between the academic disciplines of theological studies and the practices of Christian ministry, mission, spirituality, and social engagement.
o    O.3.1. Articulate knowledge of the interrelationships between the subject matter of Christian theology and the practices Christian ministry and mission.
o    O.3.2. Engage critically in theological reflection on Christian spirituality and social engagement.
·          G4. To equip students with pedagogical competencies that prepare them to teach and lead in their area of theological expertise in diverse academic and vocational contexts in local and global constituencies.
o    O.4.1. Demonstrate knowledge of learning theories and methods of assessment in order to help learners to think critically with global awareness and engagement.
o    O.4.2. Demonstrate ability to teach and lead effectively in their area of concentration and in their chosen vocational context.
·         G5. To equip students to interpret and communicate knowledge with sensitivity to the Holy Spirit.
o    O.5.1. Demonstrate an ability to interpret and to communicate knowledge from a charismatic perspective.
The Doctorate degree in Theology (ThD)  consists of 32 courses along with one Dissertation having the total 75  credits unit which student must earn in order to   satisfy the requirements  for the awards of  The Doctor of Theology
QUALIFICATION ENTRY
·        The applicant must be a Master degree holder in any religious field at least with 3.00 GPA or B grade
·        A born  again Christian
·        A Member of particular local congregation
·        With age of 25 years  and above
·        Must be approved with Doctorate Committee of the Seminary
MODE OF LEARNING
At current  seminary is running this program of study in to modes which  are online and correspondence. Face to face   mode will commence next    year

DURATION OF PROGAM
The Doctor of Theology degree  is a program of  three years. But  since that  all people are unique  therefore the is no limitation of  time duration.  Student capacity is what determine the  time framework to be used in his or her program of study. This mean that student with higher speed of learning may use less than three years to complete this program while the student with lower speed may take more than three years to complete this program
Student may request to start writing the  dissertation while proceeding with  the course work or may complete the all course work and start writing the dissertation
Student will be given the supervisor of dissertation whom will  get all  help needed in writing the  dissertation. The title of dissertation will be the area of concentration and it will appear in the degree certificate.
After completing the  program of study student will be receive  the Degree certificate of  Doctor of Theology  from  Great Commission Bible College (USA)
For more  information contact the Administrator  Tel   0762532121/0765992774  elamseminary@gmail.com
Rev.Dr. Erick L Mponzi
(Dip. Min, BEDCP, B.Th, M,Min. Th.D)
NATIONAL OVERSEER


                                  
Course Listing of Doctor of Theology Degree  (ThD)
FIRS YEAR COURSES
FIRST SEMESTER
Course   Code
Course Title
Credits
Status
EGDT   1000
Building  your Theology
2
Core
EGDB 1000
Critical Issues in Old Testament
2
Core
EGDT 1001
History and Religion of Israel
2
Core
EGDM 1000
Miracle Evangelism
2
Core
EGDT 1002
Foundations of   Scripture Interpretation
3
Core
EDGA 1000
Critical Thinking
3
Elective
SECOND SEMESTER




EGDT 2000
Experiencing the Croly of God
2
Core
EGDT  2001
The Kingdom Culture
3
Core
EGDT 2002
Soteriology
3
Core
EGDB 2000
The Divine Inspiration of Bible
2
Elective
EGDL 2000
Leadership Integrity
3
Core
EGDT 2003
The Historical Theology
2
Core
EGDE 2000
Methods of Teaching Christian Theology
3
Core
SECOND YEAR
 THIRD SEMESTER
COURSE CODE
COURSE TITLE
CREDITS
STATUS
EGDL 3000
Power of Vision
3
Core
EGDT 3000
Breaking Chain of Poverty
2
Core
EGDT 3001
Angelology
2
Core
EGDL 3001
How to Discover your Identity
2
Elective
EGDT 3002
Building Systematic Theology  
3
Core
EGDT 3004
Inter-Disciplinary  Methods in Christian  Theology
3
Core
FOURTH SEMESTER
COURSE CODE
COURSE TITLE
CREDITS

EGDT 4001
Communion with God
2
Core
EGDT 4002
Human Nature in Fourfold State
2
Elective
EGDB  4000
Building Biblical Theology
2
Core
EGDT  4003
The Death of Death in The Death of Christ
2
Elective
EGDM 4000
Missionary Methods
2
Core
EGDT 4004
Covenant Theology
2
Core
EGDL  4000
How to maximize you Potential
3
Core
THIRD YEAR
FIFTH SEMESTER
COURSE CODE
COURSE TITLE
CREDITS

EGDT 5000
Millennialism and Social Theory
2
Core
EGDT 5001
The Power and Problem  of Forgiveness
2
Elective
EGDT 5002
Christian Marriages  and Families Issues
2
Core
EGDL 5000
God’s Kingdom Economy
2
Core
EGDM 5000
The Art of    Prophesying
2
Elective
EGDT 5003
The  Attribute of God
2
Core
EGDT 5004
Advanced Research Methodology  in  Theology
3
Core
EGDT 5005
Applied Christian Ethics
2
Core
SIX SEMESTER
COURSE CODE
COURSE TITLE
CREDITS

EGDT 6000
Religion and Social Change in Africa
2
Core
EGDT 6001
Pneumatology Studies
2
Core
EGDT 6002
Understanding our   Roots
2
Core
EGDT 6003
Ecclesiliology- The Patten in  Heaven
2
Core
EGDT 6004
Dissertation  Writing  
6
Core








Jumatatu, 8 Oktoba 2018

POSTGRADUATE DIPLOMA IN THEOLOGY/ STASHAHADA YA UZAMILI KATIKA THEOLOGIA

Chuo cha Biblia cha Elam Christian Harvest Seminari kwa kushirikiana na Chuo cha Great Cmmission Bible College cha  nchini Marekani Wanawatangazia watu wote nafasi za kujiunga na Masomo ya Theolojia ngazi ya Stashahada ya Uzamili katika Theolojia (Postgraduate Diploma in Theology) kwa njiya ya Mtandao/INTANETI
Masomo haya yanatolewa kwa lugha ya kingereza ni ni kozi ya mwaka mmoja.
Waombaji wa kozi hii wanapaswa kwa wahitimu wa ngazi ya Shahada ya kwaza ya elimu ya kawaida (secular education) au  wahitimu wa Stashahada ya Juu ya Theolojia au  inayofanana na hiyo

Baada ya kufuzu programu hii mwanafunzi atakuwa na uwezo wa kuendelea na masomo ya shahada ya uzamili/umahiri katika Theologia au Huduma katika chuo hiki na katika  vyuo vingine vya kidini duniani kote.

Ada ya maombi ya kujiunga na chuo ni Tsh, 25000/=
Ada ya masomo kwa kila somo/kozi ni Tsh, 35,000/=

Watu wote mnakaribishwa ili muweze kuandaliwa kwaajili ya Huduma. Zoezi la kujiunga na masomo ni endelevu linaendelea muda wote. mwanafunzi anaruhusiwa kujiunga na masomo muda wowote.
kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa simu namba 0762532121/0765992774 au tuandikie kwa barua pepe elamseminary@gmail.com


tangazo hili limetolewa leo tarehe 09/10/2018.

Wako katika Elimu ya Kikristo
Rev.Dr. Erick L Mponzi
MKURUGENZI MKUU












POSTGRADUATE OF THEOLOGY (PGDT)
   Postgraduate Diploma in Theology Programme is designed for people holding an undergraduate degree or equivalent in a discipline other than theology, who wish to upgrade their knowledge and skills in this field. This course has been designed to allow people to upgrade their knowledge and skills and also improve professional performance and personal satisfaction.   For students from other disciplines it provides a broad overview of Theology in general. Admission normally requires at least   Lower   second class degree. Also a Advanced Diploma Holder may apply to pursue this course as preparation for doing a master in Theology.

Post gradate Diploma in Theology is A special Course as Preparatory entry in Master of Theology to those people who do not have undergraduate Degree (Bachelor) in Theology or Religious Education. This course is a programme of one year of study. This Program have 60 Credit hours.  In order to qualify to be awarded this  Postgraduate Diploma   a candidate must satisfy all requirements of the Programme.


COURSE LIST OF  POSTGRADUATE DIPLOMA IN THEOLOGY (PGDT)
First Semester
 First Semester Courses
Course Code
Course Title
Credit/Units
EGB 1000
The  Survey of Old Testament
3
EGB 1001
The Survey of New Testament
3
EGT 1000
Foundations of  Faith
3
EGM 1000
Ministries of the Holy Spirit
3
EGT 1002
Systematic Theology             
3
EGT 1003
Church History
3
EGT 1004
Praise and Worship
3
EGA 1000
Personality Psychology
3
Second Semester   Courses
Course Code
Course Title
Credit/Units
EGT 2000
Marriage, family and Christian Life
3
EGT 2001
Biblical Hermeneutics
3
EGM 2000
Homiletics
3
EGL 2000
Biblical Management  Principles
3
EGT  2004
Research Methods in  Christian Theology
3
EGM  2001
Pastoral Theology
3
EGT 2005
Research Methods in  Christian Theology
3
EGT 2006
Research   Project
3

Ijumaa, 12 Januari 2018

NAFASI ZA KAZI YA KUFUNDISHA CHUO CHA BIBLIA



UONGOZI WA   Chuo cha Biblia cha Elam Christian Harvest Seminary (ECHASE)   unayofuraha kuwatangazia  Watendakazi na Viongozi wa Kanisa Nafasi za kujitolea kufundisha  katika chuo hiki.Tunaamini kuwa  Wako watumishi wa Mungu  nchini wenye  elimu ya Huduma   na Theolojia wanaoweza kufundisha watumishi wengine.
Elam Christian Harvest Seminary ni Taasisi ya Kikristo  inayofanya kazi na madhehebu yote katika kuwaanda watendakazi na Viongozi wa Kanisa  kwaajili ya Mavuno ya nyakati za mwisho.
Tunaamini kuwa Watendakazi wanapaswa kuandaliwa katika uwanja wa Mavuno, kama alivyofanya Bwana wetu Yesu Kristo katika kuwaandaa wanafunzi wake kwaajili ya kazi ya Mavuno
Tunakusudia kuwaandaa watendakzi na viongozi wa Kanisa wengi wenye kujaa maarifa ya Neno la Mungu na Upako wa Roho Mtakatifu kwaajili ya kuingia katika  Mavuno ya Kiroho ili kuondoa changamoto ya uhaba wa watendakazi  kama alivyosema Bwana Wetu Yesu Kristo kwamba “Mavuno ni Mengi lakini Watendakazi ni Wachache (Luka 10:2)
Tunakusudia kuanzisha  Vituo vya mafunzo katika  Maeneo mbalimbali katika mikoa na wilaya  Nchini Tanzania. Vituo hivyo vitaendesha Mafunzo ya wiki  moja hadi wiki  mbili kwa   mwezi. Hivyo tunahitaji kuwa na Wakufunzi wengi  ili kuweza kutimiza mkakati huu.
Biblia inasema  katika 2Timotheo 2:2
  Na mambo yale uliyoyasikia kwangu mbele ya mashahidi wengi, hayo uwakabidhi watu waaminifu watakaofaa kuwafundisha na wengine
Tunatoa  ombi  la kujitolea kufundisha   katika vituo  hivi  vitakavyoanzishwa   katika Maeneo mbalimbali nchini.



SIFA ZINAZOTAKIWA.
           Mwombaji anatakiwa kuwa na sifa  zifuatazo:-
1.     Awe amezaliwa mara ya pili (awe ameokoka)
2.     Awe na Huduma mojawapo ya zile huduma tano za Uongozi (Mtume,Nabii,Minjilisti, mchungaji au mwalimu)
3.      Mhitimu wa Chuo cha Biblia  katika fani ya Theolojia, Huduma  au uongozi wa Kiroho ngazi ya Stashahada,Stashahada ya Juu, Shahada, Stashahada ya Uzamili au Shahada ya Uzamili.
4.     Awe Mshiriki  katika kanisa  la Mahali  Pamoja (a member of a local Church).
5.     Awe anajua kuongea na kuandika vizuri Kiswahili au Kiingereza.
Jinsi ya Kutuma Maombi
Mtumishi yeyote aliyetayari  kujitolea kufundisha katika  Seminari  hii awasiliane na   uongozi wa Seminari  kwa simu namba 0762532121/0765992774 au kwa barua pepe elamseminary@gmail.com
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe30/03/2018
Tangazo hili limetolewa na



Rev.Dr. Erick L Mponzi
MKURUGENZI MKUU