Jumamosi, 9 Machi 2019

UTEUZI WA MKURUGENZI ELIMU MASAFA


Bwana Yesu apewe sifa
Napenda kuchukua nafasi hii kumtambulisha  kwenu wanafunzi wote   MKURUGENZI WA ELIMU MASAFA    wa   Elam Christian Harvest Seminary Tanzania

Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa Elam Christian Harvest Seminary imemteua Ndugu  
Rev. Respister Y.  Bitumbe kuwa Mkurugenzi wa Elimu Masafa (Director of Distance Learning  System)

Majukumu yake Kama Mkurugenzi wa Elimu Masafa ni kusimamia mafunzo  kwa njia ya Mtandao na Posta, pia kusimamia vituo vyote vya Mobile Training.


Hivyo basi wanafunzi wote wanaosoma kwa njia   ya mtandao na posta watasimamiwa na mkurugenzi huyo na mawasiliano yote yatafanyika  kwa mkurugenzi huyo

Mawasiliano yote kuhusu masomo  na mitihani  yatafanyika kwake kwa simu namba  0782-471-320 au  0757887467
Pia waratibu wote wa vituo vya mafunzo ya Mobile mnapaswa kuwasilisha taarifa za maendeleo ya vituo kwake.

Kumbuka kutaja namba yako ya usajiri, majina yako kamili na  program ya masomo unayosoma.

Nawatakieni masomo mema
Mungu awabariki sana
Wenu katika Elimu ya Kikristo
Rev. S.A Mlekia
NAIBU MAKAMU MKURUGENZI MKUU MIPANGO FEDHA NA UTAWALA