Bwana Yesu apewe sifa
Napenda kuchukua nafasi hii
kumtambulisha kwenu wanafunzi wote MKURUGENZI WA ELIMU MASAFA wa
Elam Christian Harvest Seminary Tanzania
Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa Elam
Christian Harvest Seminary imemteua Ndugu
Rev.
Respister Y. Bitumbe
kuwa Mkurugenzi wa Elimu Masafa (Director of Distance Learning System)
Majukumu yake Kama Mkurugenzi wa Elimu
Masafa ni kusimamia mafunzo kwa njia ya
Mtandao na Posta, pia kusimamia vituo vyote vya Mobile Training.
Hivyo basi wanafunzi wote wanaosoma kwa
njia ya mtandao na posta watasimamiwa
na mkurugenzi huyo na mawasiliano yote yatafanyika kwa mkurugenzi huyo
Mawasiliano yote kuhusu masomo na mitihani
yatafanyika kwake kwa simu namba
0782-471-320 au 0757887467
Pia waratibu wote wa vituo vya mafunzo
ya Mobile mnapaswa kuwasilisha taarifa za maendeleo ya vituo kwake.
Kumbuka kutaja namba yako ya usajiri,
majina yako kamili na program ya masomo
unayosoma.
Nawatakieni masomo mema
Mungu awabariki sana
Wenu katika Elimu ya Kikristo
Rev. S.A Mlekia
NAIBU
MAKAMU MKURUGENZI MKUU MIPANGO FEDHA NA UTAWALA