Masomo haya yanatolewa kwa lugha ya kingereza ni ni kozi ya mwaka mmoja.
Waombaji wa kozi hii wanapaswa kwa wahitimu wa ngazi ya Shahada ya kwaza ya elimu ya kawaida (secular education) au wahitimu wa Stashahada ya Juu ya Theolojia au inayofanana na hiyo
Baada ya kufuzu programu hii mwanafunzi atakuwa na uwezo wa kuendelea na masomo ya shahada ya uzamili/umahiri katika Theologia au Huduma katika chuo hiki na katika vyuo vingine vya kidini duniani kote.
Ada ya maombi ya kujiunga na chuo ni Tsh, 25000/=
Ada ya masomo kwa kila somo/kozi ni Tsh, 35,000/=
Watu wote mnakaribishwa ili muweze kuandaliwa kwaajili ya Huduma. Zoezi la kujiunga na masomo ni endelevu linaendelea muda wote. mwanafunzi anaruhusiwa kujiunga na masomo muda wowote.
kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa simu namba 0762532121/0765992774 au tuandikie kwa barua pepe elamseminary@gmail.com
tangazo hili limetolewa leo tarehe 09/10/2018.
Wako katika Elimu ya Kikristo
Rev.Dr. Erick L Mponzi
MKURUGENZI MKUU
POSTGRADUATE OF THEOLOGY
(PGDT)
Postgraduate
Diploma in Theology Programme is designed for people holding an undergraduate
degree or equivalent in a discipline other than theology, who wish to upgrade
their knowledge and skills in this field. This course has been designed to
allow people to upgrade their knowledge and skills and also improve
professional performance and personal satisfaction. For students from other disciplines it
provides a broad overview of Theology in general. Admission normally
requires at least Lower second class degree. Also a Advanced Diploma Holder may apply to pursue this course as preparation for doing a master in
Theology.
Post gradate Diploma in Theology is A special Course as Preparatory entry in Master of
Theology to those people who do not have undergraduate Degree (Bachelor) in
Theology or Religious Education. This course is a programme of one year of
study. This Program have 60 Credit hours.
In order to qualify to be awarded this Postgraduate Diploma a candidate must satisfy all requirements of
the Programme.
COURSE
LIST OF POSTGRADUATE DIPLOMA IN THEOLOGY
(PGDT)
First Semester
First
Semester Courses
|
||
Course Code
|
Course Title
|
Credit/Units
|
EGB
1000
|
The Survey of Old Testament
|
3
|
EGB
1001
|
The
Survey of New Testament
|
3
|
EGT
1000
|
Foundations
of Faith
|
3
|
EGM
1000
|
Ministries
of the Holy Spirit
|
3
|
EGT
1002
|
Systematic
Theology
|
3
|
EGT
1003
|
Church
History
|
3
|
EGT
1004
|
Praise
and Worship
|
3
|
EGA
1000
|
Personality
Psychology
|
3
|
Second Semester Courses
|
||
Course Code
|
Course Title
|
Credit/Units
|
EGT
2000
|
Marriage,
family and Christian Life
|
3
|
EGT
2001
|
Biblical
Hermeneutics
|
3
|
EGM
2000
|
Homiletics
|
3
|
EGL
2000
|
Biblical
Management Principles
|
3
|
EGT 2004
|
Research
Methods in Christian Theology
|
3
|
EGM 2001
|
Pastoral
Theology
|
3
|
EGT
2005
|
Research
Methods in Christian Theology
|
3
|
EGT
2006
|
Research Project
|
3
|