ELAM CHRISTIAN HARVEST SEMINARY
ECHASE
SEMINARI YA MAVUNO ELAM
P.O.BOX 69 Simu 0762532121,0759201519
Barua pepe: elamseminary@gmail.com
KUWAANDAA
WATENDAKAZI KWA MAVUNO YA SIKU ZA MWISHO
MTAALA WA ELIMU YA BIBLIA NA THEOLOGIA 2015/2016
STASHAHADA YA BIBLIA NA THEOLOGIA
Diploma in Bible and Theology (DBT)
Programu
ya Biblia na Theologia inalenga kuwaandaa watendakazi na viongozi wa kanisa
wenye kujaa upako wa Roho mtakatifu na
wenye taaluma ya kutosha katika uwanja wa theologia, huduma za kanisa na sanaa.
Pia inalenga kuwapa stadi na ujuzi na kuwajengea uwezo wa kumtumikia Mungu
katika wito wao kwa ufanisi mkubwa. Baada ya mafunzo haya viongozi hawa watakuwa
na uwezo wa kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika utumishi
wao na kuweza kumzalia Mungu matunda yanayodumu. Pia wataweza kufanya shughuli
za uongozi na kutumia raslimali mbalimbali katika kuujenga ufalme wa Mungu. Pia
programu hii inalenga kuwandaa wanafunzi
kitaaluma ili wawe na uwezo mpana
wa kuendelea na masomo ya elimu ya juu katika fani mbalimbali za elimu ya
ki-Mungu.
Programu
hii itachukua miaka miwili ya mafunzo darasani na nje ya darasa
Baadaya
kuhitimu mafunzo mwanafunzi ataweza kufanya huduma mbalimbali kutegemeana na
wito au huduma iliyo ndani yake.Mwanafunzi ataweza kuwa:-
1.
Mpanda
makanisa
2.
Mmishenari
3.
Mchungaji
4.
Mwinjilisti
5.
Mwalimu
wa shule ya jumapili/maandiko
6.
Chaplini.
7.
Kiongozi
wa timu za kupanda makanisa n.k
ORODHA YA KOZI NGAZI YA STASHAHADA YA BIBLIA
NATHEOLOGIA
MWAKA
WA KWANZA
SEMISTA YA
KWANZA
NAMBA YA KOZI
|
JINA LA KOZI
|
KREDITI
|
HADHI
|
EDB 100
|
Pitio
la Agano la Kale
|
3
|
Lazima
|
EDB 102
|
Pitio
la Agano Jipya
|
3
|
Lazima
|
EDT 100
|
Misingi
ya Imani
|
2
|
Lazima
|
EDT 101
|
Ufuasi
|
2
|
Lazima
|
EDM 100
|
Sifa
na ibada
|
2
|
Lazima
|
EDA 100
|
Mawasiliano
na stadi za usomaji
|
1
|
Lazima
|
EDT 105
|
Bibliolojia
|
2
|
Lazima
|
SEMISTA
YA PILI
NAMBA
YA KOZI
|
JINA
LA KOZI
|
KREDITI
|
HADHI
|
EDT 200
|
Kuiskia
Sauti ya Mungu
|
2
|
Lazima
|
EDT 201
|
Maisha
ya Kikristo
|
2
|
Lazima
|
EDT
202
|
Kanuni
za kufasiri Biblia
|
3
|
Lazima
|
EDT 205
|
Misingi
ya Theologia
|
2
|
Lazima
|
EDT 206
|
Kuvunja
kongwa la umaskini
|
2
|
lazima
|
EDM 200
|
Shule
ya ukombozi
|
2
|
Lazima
|
EDM
201
|
Vita
vya kiroho
|
2
|
Lazima
|
SMISTA
YA TATU
NAMBA
YA KOZI
|
JINA
LA KOZI
|
KREDITI
|
HADHI
|
EDT 300
|
Historia
ya kanisa
|
3
|
Lazima
|
EDM 300
|
Shule
ya uponyaji
|
2
|
Lazima
|
EDL 300
|
Maandalio
ya uongozi
|
2
|
Lazima
|
EDC 300
|
Mbinu
za kupanda makanisa
|
2
|
Lazima
|
EDM 301
|
Kuandaa
mahubiri
|
2
|
Lazima
|
EDT
303
|
Wanawake
katika huduma
|
1
|
Lazima
|
EDT 306
|
Thelogia
I
|
3
|
Lazima
|
Maadili
ya Uchungaji
|
2
|
Lazima
|
SEMISTA
YA NNE
NAMBA
YA KOZI
|
JINA
LA KOZI
|
KREDITI
|
HADHI
|
EDT 400
|
Agano
la Mungu
|
2
|
Lazima
|
EDP 400
|
Saikolojia
ya Biblia
|
3
|
Lazima
|
EDT 300
|
Mahusiano
ya kikristo
|
2
|
Lazima
|
EDC 400
|
Mbinu
za mazidisho ya kiroho
|
2
|
Lazima
|
EDT 405
|
Theologia
ya wanamatengenezo wa kanisa
|
2
|
Lazima
|
EDT 401
|
Kanisa
na utandawazi
|
2
|
Lazima
|
EDT 403
|
Kutembea
na Mungu
|
2
|
Lazima
|
SEMISTA
YA TANO
NAMBA
YA KOZI
|
JINA
LA KOZI
|
KREDITI
|
HADHI
|
EDL 500
|
Kanuni
za uongozi wa kiroho
|
2
|
Lazima
|
EDM 500
|
Theolojia
ya utendaji
|
3
|
Lazima
|
EDM 501
|
Huduma
ya masaidiano
|
1
|
Lazima
|
EDT 500
|
Ndoa
na familia
|
2
|
Lazima
|
EDT 5005
|
Utafiti
wa Kitheologia
|
2
|
Lazima
|
EDT 502
|
Theolgia
II
|
2
|
Lazima
|
EDT 604
|
Theologia
linganishi
|
2
|
Kuchagua
|
EDT 603
|
Mafundisho
potofu
|
2
|
Kuchagua
|
EDM 502
|
Mazoezi ya vitendo I
|
1
|
Lazima
|
SEMISTA
YA SITA
NAMBA
YA KOZI
|
JINA
LA KOZI
|
KREDITI
|
HADHI
|
EDT 600
|
Karama
za Roho Mtakatifu
|
3
|
Lazima
|
EDP 600
|
Ushauri
wa Kichungaji
|
2
|
Lazima
|
EDT 601
|
Theolojia
ya Kichungaji
|
2
|
Lazima
|
EDL 601
|
Usimamizi
wa Raslimali za kanisa
|
2
|
lazima
|
EDM 600
|
Mbinu
za ufundishaji
|
2
|
Lazima
|
EDA 600
|
Ujasiliamali
|
1
|
Lazima
|
EDT 602
|
Mtazamo
wa ulimwengu KiBiblia
|
1
|
Lazima
|
EDT 501
|
Kupokea
upako wa Roho Mtakatifu
|
2
|
Lazima
|
EDT 604
|
Semina
ya kitheologia
|
Lazima
|